Monday, March 18, 2024

WAZIRI MKUU KUFUNGUA KONGAMANO LA IDHAA ZA KISWAHILI JIJINI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa Majaliwa amewasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe uliopo Mkoani Mbeya na kupokelewa na Mwenyeji wake Juma Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya

Mh. Majaliwa amewasili mkoani huo kwaajili ya kufungua Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani linalofanyika kuanzia leo March 18 - 22, 2024 katika Ukumbi wa Eden Highlands Hotel, Jijini Mbeya.



No comments:

Post a Comment