Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa
Majaliwa amewasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Songwe uliopo Mkoani
Mbeya na kupokelewa na Mwenyeji wake Juma Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
Mh. Majaliwa amewasili mkoani huo kwaajili ya kufungua Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani
linalofanyika kuanzia leo March 18 - 22, 2024 katika Ukumbi wa Eden Highlands Hotel, Jijini Mbeya.
No comments:
Post a Comment