Monday, August 26, 2024

THRDC YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI

Baadhi ya Waandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali, (kushoto Frolian Godwin kutoka Mwanza, Kenneth Ngelesi Kutoka Mbeya na Ediga Rwenduru kutoka Geita) wakiwa katika picha ya pamoja baada kushiriki mafunzo ya jinsi ya kuripoti habari za uchaguzi iliyofanyika Jijini Dodoma kwa siku mbili chini ya uratibu wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu THRDC.


No comments:

Post a Comment