Tuesday, July 23, 2024

DKT. TULIA ADHURU KABURI LA BABA WA TAIFA WA INDIA

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 23 Julai, 2024 ametembelea na kuweka shada la maua kwenye makumbusho ya kaburi la Baba wa Taifa la India hayati Mahatma Gandhi yaliyopo Jijini New Delhi, India.

No comments:

Post a Comment