Wednesday, February 14, 2024

JUMATANO YA MAJIVU: TUNAWATAKIA KWARESMA NJEMA.

 

Leo ni Jumatano ya Majivu, siku ambayo ni alama ya kuanza kwa siku 40 za Kwaresma kwa Wakatoliki. Wakatoliki duniani hutumia kipindi hiki kufahamu vizuri kifo na ufufuo wa Yesu kupitia kutubu, kusali, kufunga na kujikana mwenyewe. TUNAWATAKIA MFUNGO MWEMA WA KWARESMA.

No comments:

Post a Comment