Tuesday, June 4, 2024

TCRA KUWASHUGHULIKIA WANAOPANDISHA BEI YA VOCHA

Mamlaka ya Mawasiliano Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imewataka wafanyabiasha kuacha kuuza vocha zaidi ya bei elekezi kwani ni kinyume na sheria.

No comments:

Post a Comment