Friday, February 21, 2025

HASHIM RUNGWE KUFANYA MKUTANO WA HADHARA MBEYA, UBWABWA BURE

Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinatarajia kufanya Mkutano wa hadhara Februari 22, 2025 Mwanjelwa Jijini Mbeya mkutano utakaoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Hashim Rungwe.

No comments:

Post a Comment