WATU WATANO WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA UPATU MTANDAONI
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya linawashikilia watu wa tano wa kampuni ya LBL kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya upatu mtandaoni bila kuwa na kibali na kuwashawishi wateja kulipa fedha.
No comments:
Post a Comment