Friday, February 21, 2025

KENGOLD vs KMC, TIMU ZAELEZA JINSI ZILIVYOJIPANGA KUONDOKA NA ALAMA TATU

 

Kuelekea mechi ya KenGold dhidi ya KMC itakayochezwa kesho Februari 22, 2025 saa nane mchana katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya makocha wa timu zote wameeleza namna walivyojiandaa kuondoka na alama tatu muhimu katika mchezo huo.

No comments:

Post a Comment