Thursday, May 30, 2024

WANAOPANDISHA BEI YA VOCHA KUSHUGHULIKIWA

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema wametoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kufuatilia wafanyabiashara wanaouza vocha za kukwangua kinyume na bei elekezi.

Maeneo mbalimbali nchini baadhi ya wafanyabiashara wamekua wakiuza Vocha ya Tsh 500/- kwa Tsh 600/- na vocha ya Tsh 1,000/- inauzwa kwa Tsh 1,200/-.

No comments:

Post a Comment