PATRIC MWALUNENGE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE MBEYA MJINI
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya ambaye pia
ameteuliwa na chama hicho kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo la Mbeya
Mjini, leo Agosti 25, 2025 amechukua fomu ya kugombea nafasi hiyo.
No comments:
Post a Comment