![]() |
Balozi wa Sweden Tanzania, Mh. Anders Sjöberg. |

"Sweden inaamini kwamba maendeleo ya nchi yoyote ile yanapatikana kwa kupeana tarifa, kujadiliana kwa uwazi, na kuwajibishana. Basi sisi tutaendelea kuungana na watanzania wote katika jitihada za kukuza na kuendeleza uhuru wa habari na kujieleza nchini". Balozi Anders Sjöberg
No comments:
Post a Comment