Monday, May 3, 2021

UFAFANUZI WA SPIKA NDUGAI KUHUSU UBUNGE WA AKINA HALIMA MDEE NA WENZAKE

 

"Aandike barua aambatanishe na katiba ya chama chake, aniambatanishie na muhtasari wa hicho kikao kilichofanya hayo maamuzi, inawezekana huyo Katibu Mkuu kaamka tu kaandika halafu na mimi nakurupuka nachukua hatua, nitakua ni Spika au kitu cha ajabu, hivyo andika ili ile barua niwape watalam waangalie, halafu namuuliza msajili wa chama hawa wajumbe walioorodheshwa ndiyo wajumbe halisi?", amesema
 Spika Ndugai

No comments:

Post a Comment